Habari Mpya

Sunday 20 July 2014

  Mwaka 1960 jumsuit ilianza kuonekana na kupata umaarufu zaidi mwaka 1980.Jumpsuit ilionekana kwa kasi katika maonyesho tofauti ya wana mitindo katika miaka hiyo.Tasnia ya mavazi imekuwa na mabadiliko makubwa kila kukicha huku aina mpya ya mitindo ikikubalika kila wakati hapa nchini.
Kwa kiasi kikubwa maboresho hayo yanatokana na ubunifu katika utengenezaji wa mavazi. Jumpsuit ilionekana kuvaliwa na mastar tofauti kama Britney Spears, Aliyah, Elvis Presley ambao wote wali pandisha chati vazi la Jumpsuit kwa kuvaa katika show zao katika maju kwaa. Jumpsuit ilikuwa ndio habari ya ma-star kipindi hicho cha miaka 80 iliyopita na hata muda huliopo. Vazi la jumpsuit limekuwa laki pekee kwa sababu limetengenezwa kwa kuunganisha suruali na vazi la juu.

Jumpsuit ni vazi ambalo linaweza kuvaliwa katika events yoyote ile yaweza kuwa office sherehe kwenye meeting hata kanisani, Jumpsuit ina weza valiwa na age yoyote watoto, Vijana, Wazee na Wanamitindo pia huvaliwa na mtu mrefu mfupi mnene mwembamba sambamba na kiatu kirefu hunogesha . Haitakuja kushangaza kuona vazi hili likija kuvaliwa kama Kanisani, Ofsini na sehemu nyingine za heshima.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: fashion time na tatyana celestine
Scroll to Top