









Baada ya kuingia kwa mwaka mpya Berlin.

Fataki hizo zilin'gara angani kwa dakika sita na kutanda kwenye mwambao wa Dubai wa kilomita 100, kivutio kikuu cha fataki hizo kikikiwa kutoka kwenye jumba refu kabisa duniani la Burj Khalifa lenye urefu wa mita 830 na katika hoteli ya kifahari ya Atlantis ilioko Palm Jumeira, mojawapo ya visiwa vitatu vilivyotengenezwa na binaadamu kikiwa na umbo la mtende.
Rikodi ya mwisho iliwekwa na Kuwait hapo mwaka 2011 kwa onyesho la fataki 77,282 lililodumu kwa saa nzima.
Picha ya Hayati Nelson Mandela zimetanda kila pembe ya dunia.
0 comments:
Post a Comment