Habari Mpya

Tuesday 28 April 2015

Michirizi, mipasuko, mistari au kwa kitaalum Strech marks ni tatizo pata nafasi ya kuiondoa yoooote hapa

Michirizi, mipasuko, mistari au kwa kitaalum Strech marks
inasababishwa na vitu vifuatavyo:-


- Ujauzito
- Kuongezeka kwa mwili (unene)
- Ukuaji wa haraka wakati wa kubalehe
- Mabadiliko ya mwili



Lakini hii hali inaweza kupotea kabisa iwapo utafanya mambo yafuatayo:-
1. Upakaji wa mafuta laini (Lotion) aina ya
Vaseline Intensive care tumboni katika kipindi chote cha
ujauzito kinasaidia kutopata tatizo hili.


2. Upakaji wa srub ya Apricot ni dawa ya haraka ya tatizo hili


3. Upakaji wa Mafuta ya Lavender mara 2 kwa siku yanaondoa
tatizo hili kwa muda mfupi sana


4. Mchanganyiko huu ni dawa nzuri na ya kuaminika,
ni vizuri ukihifadhi mchanganyiko wako ndani
ya Friji kwa kipindi chote cha matumizi.

- 1/2 kikombe cha olive oil
- 1/4 kikombe cha alove vera gel
- Majimaji ya vidonge 6 vya vitamini E
- Majimaji ya Vidonge 4 vya Vitamini A


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: Michirizi, mipasuko, mistari au kwa kitaalum Strech marks ni tatizo pata nafasi ya kuiondoa yoooote hapa Description: Rating: 5 Reviewed By: fashion time na tatyana celestine
Scroll to Top