Habari Mpya

Monday 17 February 2014

Kwaheri na karibu tena Tanzania

Mwigizaji Omotola Jalade wa pili kushoto akikabidhiwa zawadi na za khanga, shanga na viatu Wema Sepetu wakati akiondoka kuelekea Nigeria jana usiku. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya One Touch Solutions, Petter Mwendapole ambao waliratibu ziara ya msanii huyo. Mwingine wa msanii Snura.

Omotola akijaribu bangili za kimasai alizopewa kama zawadi
Mwigizaji Wema Sepetu akimvalisha Khanga Omotola Jalade muda mfupi kabla ya hajandoka nchini kuelekea Nigeria.
 
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: Kwaheri na karibu tena Tanzania Description: Rating: 5 Reviewed By: fashion time na tatyana celestine
Scroll to Top